Zaburi 38:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana viuno vyangu vimejaa moto,Wala hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu.+ Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+