Zaburi 90:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewafagilia mbali;+ wanakuwa usingizi tu;+Asubuhi, wao ni kama majani mabichi ambayo hubadilika.+ Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+ Isaya 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+
15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+
6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+