Zaburi 90:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewafagilia mbali;+ wanakuwa usingizi tu;+Asubuhi, wao ni kama majani mabichi ambayo hubadilika.+ Isaya 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+