Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+

  • Matendo 7:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.

  • 1 Wakorintho 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+

  • 2 Petro 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki