19 wale wanaosema: “Kazi yake na iharakishe; hiyo na ije upesi ili tuione; nalo shauri la Mtakatifu wa Israeli likaribie na kuja, ili tupate kulijua!”+
22 “Mwana wa binadamu, ni neno gani hili la kimethali mlilo nalo katika udongo wa Israeli,+ linalosema, ‘Siku zimerefushwa,+ na maono yote yameangamia’?+