Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwenendo mpotovu wa upumbavu ni dhambi,+ na mwenye dhihaka ni chukizo kwa wanadamu.+

  • Yeremia 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+

  • Yeremia 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tazama! Kuna wale wanaoniambia: “Neno la Yehova liko wapi?+ Na liingie, tafadhali.”

  • Ezekieli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Mwana wa binadamu, ni neno gani hili la kimethali mlilo nalo katika udongo wa Israeli,+ linalosema, ‘Siku zimerefushwa,+ na maono yote yameangamia’?+

  • Amosi 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki