Methali 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenendo mpotovu wa upumbavu ni dhambi,+ na mwenye dhihaka ni chukizo kwa wanadamu.+ Yeremia 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+ Yeremia 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama! Kuna wale wanaoniambia: “Neno la Yehova liko wapi?+ Na liingie, tafadhali.” Ezekieli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Mwana wa binadamu, ni neno gani hili la kimethali mlilo nalo katika udongo wa Israeli,+ linalosema, ‘Siku zimerefushwa,+ na maono yote yameangamia’?+ Amosi 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “ ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru,+
12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+
22 “Mwana wa binadamu, ni neno gani hili la kimethali mlilo nalo katika udongo wa Israeli,+ linalosema, ‘Siku zimerefushwa,+ na maono yote yameangamia’?+
18 “ ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru,+