Isaya 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 wale wanaosema: “Kazi yake na iharakishe; hiyo na ije upesi ili tuione; nalo shauri la Mtakatifu wa Israeli likaribie na kuja, ili tupate kulijua!”+ Amosi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, mnaiondoa akilini mwenu ile siku yenye msiba,+ na je, mnaleta karibu makao ya jeuri?+
19 wale wanaosema: “Kazi yake na iharakishe; hiyo na ije upesi ili tuione; nalo shauri la Mtakatifu wa Israeli likaribie na kuja, ili tupate kulijua!”+