27 “Mwana wa binadamu, tazama! Wale wa nyumba ya Israeli wanasema, ‘Maono anayoona ni ya siku nyingi zinazokuja, naye anatoa unabii kuhusu nyakati zilizo mbali.’+
4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+