Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+

      Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+

  • Mhubiri 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+

  • Isaya 56:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+

  • Ezekieli 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Mwana wa binadamu, tazama! Wale wa nyumba ya Israeli wanasema, ‘Maono anayoona ni ya siku nyingi zinazokuja, naye anatoa unabii kuhusu nyakati zilizo mbali.’+

  • 2 Petro 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki