Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+

  • Isaya 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ole wao walio na nguvu katika kunywa divai, na wanaume walio na nguvu za kuchanganya kileo,+

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

  • Hosea 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+

  • Mathayo 24:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 naye aanze kuwapiga watumwa wenzake na kula na kunywa pamoja na walevi wa kupindukia,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki