Isaya 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hawa pia wanapotea njia kwa sababu ya divai;Wanapepesuka kwa sababu ya vileo vyao. Kuhani na nabii wanapotea njia kwa sababu ya kileo;Divai inawavuruga,Nao wanapepesuka kwa sababu ya kileo chao;Maono yao yanawafanya wapotee njia,Nao wanajikwaa wanapohukumu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 28:7 ip-1 289, 291, 300 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:7 Unabii wa Isaya 1, kur. 289-291, 300-301 Mnara wa Mlinzi,6/1/1991, kur. 12-13
7 Na hawa pia wanapotea njia kwa sababu ya divai;Wanapepesuka kwa sababu ya vileo vyao. Kuhani na nabii wanapotea njia kwa sababu ya kileo;Divai inawavuruga,Nao wanapepesuka kwa sababu ya kileo chao;Maono yao yanawafanya wapotee njia,Nao wanajikwaa wanapohukumu.+