Methali 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usiwe kati ya watu wanaokunywa divai mno,+ kati ya watu wanaokula nyama kwa ulafi.+ Methali 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili mtu asinywe na kusahau jambo lililoagizwa na kupotosha haki ya yeyote wa wana wa mateso.+ Isaya 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+