Methali 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Methali 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni wale wanaokaa muda mrefu kwenye divai,+ wale wanaoenda kutafuta divai iliyochanganyika.+ Hosea 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+