Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Baadaye Abigaili akaingia kwa Nabali, na tazama, mwanamume huyo alikuwa akifanya karamu katika nyumba yake, karamu kama ile ya mfalme;+ na moyo wa Nabali ulikuwa ukichangamka ndani yake, naye alikuwa amelewa+ kabisa; na kufikia nuru ya asubuhi mke hakuweza kumwambia jambo lolote, liwe ni dogo au kubwa.

  • Methali 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwisho wake inauma kama nyoka,+ nayo hutoa sumu kama nyoka.+

  • 1 Wakorintho 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+

  • Wagalatia 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+

  • Waefeso 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki