1 Wafalme 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wakaanza kutoka katikati ya mchana wakati Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa+ katika vibanda, yeye pamoja na wale wafalme, wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia. Methali 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Hosea 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+ 1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+ Waefeso 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+
16 Nao wakaanza kutoka katikati ya mchana wakati Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa+ katika vibanda, yeye pamoja na wale wafalme, wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.
10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+