Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+

  • Mhubiri 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+

  • Hosea 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki