Methali 31:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+ Mhubiri 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+ Hosea 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+
4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+
17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+