Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Usinywe divai wala kileo,+ wewe na wanao pamoja nawe, mnapoingia ndani ya hema la mkutano, msije mkafa. Hiyo ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu,

  • Esta 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+

  • Mhubiri 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

  • Danieli 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, shaba, chuma, miti na mawe.+

  • Hosea 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki