7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.