Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

  • Hosea 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakuu wamekuwa wagonjwa+ katika siku ya mfalme wetu—kuna ghadhabu kwa sababu ya divai.+ Amenyoosha mkono wake pamoja na wenye kudharau.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki