Isaya 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+ Habakuki 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “ ‘Ole wake anayewapa wenzake kinywaji, akikishikamanisha na ghadhabu na hasira yako, ili kuwalewesha,+ kwa kusudi la kuzitazama sehemu zao za aibu.+
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+
15 “ ‘Ole wake anayewapa wenzake kinywaji, akikishikamanisha na ghadhabu na hasira yako, ili kuwalewesha,+ kwa kusudi la kuzitazama sehemu zao za aibu.+