34 “Lakini jiangalieni ninyi wenyewe kwamba mioyo yenu isilemewe kamwe na kula kupita kiasi na kunywa sana+ na mahangaiko+ ya maisha, na kwa ghafula siku hiyo iwe juu yenu mara moja+
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.
21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+