13 Kwa hiyo watu wangu watalazimika kwenda uhamishoni kwa sababu ya kukosa ujuzi;+ na utukufu wao utakuwa ni watu wenye njaa,+ na umati wao utakaushwa kwa kiu.+
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.