Kumbukumbu la Torati 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ Isaya 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+ 1 Petro 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+
20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili watafute tu kileo,+ wanaokawia mpaka giza la jioni sana hivi kwamba divai inawawasha!+
3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+