11 Lakini sasa ninawaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika+ pamoja na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati au mtu mwenye pupa+ au mwabudu-sanamu au mtukanaji au mlevi+ au mnyang’anyi, hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo.
21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+