28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
17 Kwa hiyo, nasema hili na kulitolea ushahidi katika Bwana, kwamba msiendelee tena kutembea kama vile mataifa+ wanavyotembea pia katika ubatili wa akili+ zao,
3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa watu wasio na akili, wasiotii, tukipotoshwa, tukiwa watumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali, tukiendelea katika ubaya na wivu, wenye kuchukiza, tukichukiana.+