-
Tito 3:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa watu wasio na akili, wasiotii, waliopotoshwa, watumwa wa tamaa na anasa mbalimbali, tukiendeleza ubaya na wivu, tukiwa wenye kuchukiza, na kuchukiana.
-
-
Tito 3:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa wenye kukosa akili, wasiotii, tukiongozwa vibaya, tukiwa watumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali, tukiendelea katika ubaya na husuda, wenye kukirihisha, tukichukiana.
-