Methali 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Methali 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+ na kusinzia kutamvika mtu nguo zilizopasuka.+ Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu. 1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+ Waefeso 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.
10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+