Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ 1 Petro 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida,+ mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda-dhambi wataonekana wapi?”+
18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida,+ mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda-dhambi wataonekana wapi?”+