17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+
21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+