Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+

  • Methali 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayependa kujifurahisha atakuwa na uhitaji;+ anayependa divai na mafuta hatapata utajiri.+

  • Mhubiri 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+

  • Wagalatia 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki