Mhubiri 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wa watu wenye hekima umo katika nyumba ya maombolezo,+ lakini moyo wa wajinga umo katika nyumba ya kushangilia.+ Luka 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baadaye, baada ya siku zisizokuwa nyingi, mwana huyo mdogo akakusanya pamoja vitu vyote akasafiri ng’ambo na kwenda nchi ya mbali, na huko akatapanya mali yake kwa kuishi maisha ya upotovu.+ 2 Timotheo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+
4 Moyo wa watu wenye hekima umo katika nyumba ya maombolezo,+ lakini moyo wa wajinga umo katika nyumba ya kushangilia.+
13 Baadaye, baada ya siku zisizokuwa nyingi, mwana huyo mdogo akakusanya pamoja vitu vyote akasafiri ng’ambo na kwenda nchi ya mbali, na huko akatapanya mali yake kwa kuishi maisha ya upotovu.+
4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+