Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Baadaye Abigaili akaingia kwa Nabali, na tazama, mwanamume huyo alikuwa akifanya karamu katika nyumba yake, karamu kama ile ya mfalme;+ na moyo wa Nabali ulikuwa ukichangamka ndani yake, naye alikuwa amelewa+ kabisa; na kufikia nuru ya asubuhi mke hakuweza kumwambia jambo lolote, liwe ni dogo au kubwa.

  • Methali 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayependa kujifurahisha atakuwa na uhitaji;+ anayependa divai na mafuta hatapata utajiri.+

  • Danieli 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+

  • Hosea 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakuu wamekuwa wagonjwa+ katika siku ya mfalme wetu—kuna ghadhabu kwa sababu ya divai.+ Amenyoosha mkono wake pamoja na wenye kudharau.

  • Marko 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini siku inayofaa+ ikafika wakati Herode alipoandaa mlo wa jioni kwenye sikukuu ya kuzaliwa+ kwake kwa ajili ya wenye daraja la juu na viongozi wake wa kijeshi na walio wa cheo cha kwanza kabisa wa Galilaya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki