Isaya 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Meza na ipangwe, viti vipangwe, kuwe na kula, kunywa!+ Simameni, enyi wakuu,+ itieni ngao mafuta.+ Yeremia 51:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.
39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.