Yeremia 51:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,Ili wafurahi;+Kisha watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova.
39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,Ili wafurahi;+Kisha watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova.