Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Nawe unapaswa kuwaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma miongoni mwenu.”’ Yeremia 51:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,Nao watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
27 “Nawe unapaswa kuwaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma miongoni mwenu.”’
57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,Nao watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.