Isaya 63:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwakanyaga watu kwa hasira yangu,Niliwalewesha kwa ghadhabu yangu+Niliimwaga damu yao ardhini.” Habakuki 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Utajaa kabisa aibu badala ya utukufu. Wewe pia—kunywa na kufunua hali yako ya kutotahiriwa.* Kikombe kilicho kwenye mkono wa kuume wa Yehova kitazunguka na kufika kwako,+Na fedheha itafunika kabisa utukufu wako;
16 Utajaa kabisa aibu badala ya utukufu. Wewe pia—kunywa na kufunua hali yako ya kutotahiriwa.* Kikombe kilicho kwenye mkono wa kuume wa Yehova kitazunguka na kufika kwako,+Na fedheha itafunika kabisa utukufu wako;