Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova;+

      Divai inatoa povu nayo imechanganywa kikamili.

      Hakika ataimwaga,

      Na waovu wote duniani watainywa, mpaka machicha yake.”+

  • Isaya 51:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Bwana wako Yehova, Mungu wako anayewatetea watu wake anasema hivi:

      “Tazama! Nitakichukua kutoka mkononi mwako kile kikombe kinachofanya watu wapepesuke,+

      Ile bilauri, kikombe changu cha ghadhabu;

      Hutakinywa tena.+

      23 Nitakitia mkononi mwa wale wanaokutesa,+

      Wale waliokuambia, ‘Inama chini ili tutembee juu yako!’

      Basi ukaufanya mgongo wako kama ardhi,

      Kama barabara yao ya kutembea juu yake.”

  • Yeremia 25:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Lazima mnywe!

  • Yeremia 51:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+

      Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,

      Nao watalala usingizi wa kudumu,

      Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki