Yeremia 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na iwe kwamba wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, wewe pia utawaambia, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka mtakinywa.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:28 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 21
28 Na iwe kwamba wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, wewe pia utawaambia, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka mtakinywa.+