Isaya 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.
25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.