Isaya 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yakung’ute mavumbi, inuka na uketi, ewe Yerusalemu. Fungua pingu zilizo shingoni mwako, ewe binti ya Sayuni uliye mateka.+ Yeremia 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Miaka 70 itakapotimia huko Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitatimiza ahadi yangu kwa kuwarudisha mahali hapa.’+ Yeremia 50:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+ Zekaria 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wewe, Ee mwanamke, kwa damu ya agano lako,Nitawatoa wafungwa wako katika shimo lisilo na maji.+
2 Yakung’ute mavumbi, inuka na uketi, ewe Yerusalemu. Fungua pingu zilizo shingoni mwako, ewe binti ya Sayuni uliye mateka.+
10 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Miaka 70 itakapotimia huko Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitatimiza ahadi yangu kwa kuwarudisha mahali hapa.’+
34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
11 Lakini wewe, Ee mwanamke, kwa damu ya agano lako,Nitawatoa wafungwa wako katika shimo lisilo na maji.+