Isaya 41:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiogope, wewe mnyoo* Yakobo,+Ninyi watu wa Israeli, nitawasaidia,” asema Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli. Ufunuo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hiyo ndiyo sababu mapigo yake yatakuja katika siku moja, kifo na kuomboleza na njaa kali, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova* Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+
14 Usiogope, wewe mnyoo* Yakobo,+Ninyi watu wa Israeli, nitawasaidia,” asema Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli.
8 Hiyo ndiyo sababu mapigo yake yatakuja katika siku moja, kifo na kuomboleza na njaa kali, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova* Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+