Isaya 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+ Isaya 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Yule anayetukomboa—Yehova wa majeshi ndilo jina lake—Ndiye Mtakatifu wa Israeli.”+
14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+