Isaya 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 49:25 ip-2 149-151 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 49:25 Unabii wa Isaya II, kur. 149-151
25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+