Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitajiacha mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitakusanya kundi lenu la mateka na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na kutoka katika mahali pote ambapo nimewatawanya ninyi,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha katika mahali ambapo kutoka hapo niliwapeleka uhamishoni.’+

  • Yeremia 46:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo, wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yako ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi, hatakuwa na usumbufu naye atastarehe na kusiwe na yeyote wa kumtetemesha.+

  • Hosea 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Zaidi ya hilo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako, wakati nitakapowarudisha tena watu wangu waliotekwa.”+

  • Yoeli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kwa maana, tazama! siku hizo na wakati huo,+ nitakapowarudisha mateka wa Yuda na Yerusalemu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki