3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+
28 “ ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, nitakapowapeleka uhamishoni kwa mataifa na kwa kweli niwarudishe pamoja kwenye nchi yao,+ hivi kwamba sitamwacha yeyote kati yao abaki huko.+
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+