Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Yeremia 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+

  • Ezekieli 39:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “ ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, nitakapowapeleka uhamishoni kwa mataifa na kwa kweli niwarudishe pamoja kwenye nchi yao,+ hivi kwamba sitamwacha yeyote kati yao abaki huko.+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki