Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitawakusanya mateka wa watu wangu, Israeli na Yuda,”+ Yehova amesema, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao hakika wataimiliki tena.”’”+

  • Ezekieli 38:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa hiyo toa unabii, Ee mwana wa binadamu, nawe umwambie Gogu, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Je, haitakuwa katika siku ile wakati watu wangu Israeli wanapokaa kwa usalama kwamba utajua hilo?+

  • Sefania 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wakati huo nitawaleta ndani ninyi, hata wakati wangu wa kuwakusanya ninyi pamoja. Kwa maana nitawafanya ninyi kuwa jina na sifa kati ya vikundi vyote vya watu wa dunia, ninapowakusanya ili kuwarudisha mateka wenu mbele ya macho yenu,” Yehova amesema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki