Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+

  • Ezra 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliotoka utekwani mwa wale waliohamishwa,+ ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ katika Babiloni na ambao baadaye walirudi+ Yerusalemu na Yuda,+ kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;

  • Yeremia 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+

  • Yeremia 32:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “‘Watu watanunua mashamba kwa pesa, na maandishi yatatiwa katika hati+ na muhuri kutiwa na mashahidi+ kuchukuliwa, katika nchi ya Benyamini,+ na katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu,+ na katika majiji ya Yuda,+ na katika majiji ya eneo lenye milima, na katika majiji ya nchi tambarare ya chini,+ na katika majiji ya kusini,+ kwa sababu nitawarudisha mateka wao,’+ asema Yehova.”

  • Ezekieli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “ ‘Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ nitakapowaleta kwenye udongo wa Israeli,+ katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa mababu zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki