Zaburi 126:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+ Yeremia 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama pale mwanzoni.+