Ezra 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+ Zaburi 53:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Laiti wokovu mkuu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+ Zaburi 85:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 85 Ee Yehova, umependezwa na nchi yako;+Umewarudisha wale waliochukuliwa mateka wa Yakobo.+ Hosea 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Zaidi ya hilo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako, wakati nitakapowarudisha tena watu wangu waliotekwa.”+
3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+
6 Laiti wokovu mkuu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+
11 Zaidi ya hilo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako, wakati nitakapowarudisha tena watu wangu waliotekwa.”+