Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 85 Ee Yehova, umependezwa na nchi yako;+

      Umewarudisha wale waliochukuliwa mateka wa Yakobo.+

  • Zaburi 126:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+

      Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+

  • Yeremia 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+ nami nitazihurumia maskani zake. Na kwa kweli jiji litajengwa upya juu ya kilima chake;+ na mnara wa makao utaketi juu ya mahali pake panapoufaa.+

  • Yoeli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kwa maana, tazama! siku hizo na wakati huo,+ nitakapowarudisha mateka wa Yuda na Yerusalemu,+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki