Mambo ya Walawi 26:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka. Zaburi 77:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, Yehova ataendelea kutupa mpaka nyakati zisizo na kipimo,+Na je, hatapendezwa tena kamwe?+ Yoeli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova atakuwa mwenye bidii kwa ajili ya nchi yake+ naye atawaonea huruma watu wake.+
42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka.