Zaburi 79:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+ Zaburi 85:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 85 Ee Yehova, umependezwa na nchi yako;+Umewarudisha wale waliochukuliwa mateka wa Yakobo.+ Waroma 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+
5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+
11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+