27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+
18 Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+ bali dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+ kwa sababu atafanya maangamizi, yenye kutisha kwelikweli, ya wakaaji wote wa dunia.”+